Okoa Maziwa Ongeza Mapato

Loading...
Thumbnail Image

Date

2017

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Kenya Agricultural and Livestock Research Organization

Abstract

Ndama hukua pole pole (chini ya gram 300 kwa siku) na hufa kwa wingi (asilimia15-20) kwa sababu ya ukosefu wa lishe bora. Wafugaji hukosa kuwapa ndama maziwa ya kutosha ili kujiongezea faida kutokana na maziwa. Ndama huhitaji lita (L) 400 za maziwa toka kuzaliwa hadi kuachishwa maziwa. Gharama yake ni Ksh 16,000 kwa bei ya Ksh 40 kwa lita. Nusu ya kiasi hiki cha maziwa chaweza kusalia na kuuzwa ikiwa kitabadilishwa na uji wa mahindi kunde na maziwa. Uji huu waweza kutumika palipo na kunde. Maharagwe yaweza kutumika badala ya kunde katika sehemu za miinuko.

Description

Keywords

ndama, maziwa, uji wa mahindi

Citation

Mwanachi, D.M. & Bimbuzi, S. (2017). Okoa Maziwa Ongeza Mapato [Brochure]. Kenya Agricultural and Livestock Research Organization